Friday, 13 May 2016

Mamia ya Wahamaji waokolewa Sicily.

Image copyrighP
Walinzi wa Pwani ya Italia wamewaokoa wahamaji karibu 900 wengi kutoka Syria na Iraq kutoka katika boti 2, kwenye pwani ya Sicily.
Shirika la Kuhudumia Wakimbizi limeelezea tukio hilo kuwa ni jaribio la Wahamaji wengi kutoka nchi mbili za Kiarabu kuingia Italia katika kipindi cha mwaka mmoja.
Aidha tukio hilo linaonesha kuwa wimbi la wahamiaji linabadili mwelekeo.
Kwa njia iliyokuwa ikitumika ya kupitia Ugiriki mpaka nchi za Balkani ambayo sasa imefungwa, inaoneka wengi sasa wanailenga njia ya kupitia Mediterranea, ambayo inapitia Misri na Libya mpaka Italia.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 

MAISHA TM Copyright © 2012 Template Designed by BTDesigner Published..Blogger Templates· Powered by Blogger