Wednesday, 25 May 2016

Beki wa Real Madrid kuikosa michuano ya Euro

i wa timu ya taifa ya Ufaransa Raphael Varane ametemwa katika kikosi cha timu ya taifa ya nchi hiyo.Varane hajaitwa kwenye kikosi kitachoshiriki michuano ijayo ya Euro itayoanza mwezi June kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya nyama za paja.
3486D18900000578-0-image-a-1_1464122950445
Varane Pia ataukosa mchezo wa fainali ya kombe la klabu bingwa ulaya utapigwa Mei 28 kati ya timu yake ya Real Madrid na Atletico Madrid.
Mchezaji huyu atakua nje ya uwanja kwa muda wa wiki tatu mpaka nne na nafasi yake kwenye kikosi cha taifa imechukuliwa na beki wa Adil Rami, mwenye umri wa miaka 30 anayeichezea timu ya Sevilla ya nchini Hispania.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 

MAISHA TM Copyright © 2012 Template Designed by BTDesigner Published..Blogger Templates· Powered by Blogger