Mwakyembe amewapongeza Serengeti Boys kwa kushiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza na kuwaambia kuondolewa kwao ni mwanzo mpya wa safari ya kuitumikia Ngorongo Horoes.
“Karibuni nyumbani, mmetuwakisha vizuri na kuweka rekodi ya kuwa Tanzania tupo, tukienda kwenye mashindano ya kimataifa hatuendi kama wasindikizaji, tunaenda kama washindani.”
“Tunawategemea nyie ndio mtakua Ngorongoro Heroes, maandalizi yanaanza sasa kuelekea michuano inayokuja ili mwakani mtuwakilishe vizuri.”
0 comments:
Post a Comment