Thursday, 26 May 2016

Arsenal yakamilisha usajili wa Granit Xhaka

Klabu ya Arsenal imefanya usajili wa kiungo mpya wa Granit Xhaka kwa usajili wa Pauni Milioni 35 kutoka Borussia Monchengladbach ya Ujerumani atakuwa akichukua mshahara wa pauni 110,000 kwa wiki amesain mkataba wa miaka mitano.
3499997E00000578-3608536-image-m-76_1464173801041
xhaka
3499995800000578-3608536-image-a-53_1464173305008
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 

MAISHA TM Copyright © 2012 Template Designed by BTDesigner Published..Blogger Templates· Powered by Blogger