Thursday, 18 May 2017

SIMBA YAJICHIMBIA DEGE BEACH, NI MWADUI NA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO


KIkosi cha Simba kimeendelea na mazoezi yake kambini Dege Beach ikiwa ni kujiandaa na mechi yake ya mwisho ya ligi dhidi ya Mwadui ya Shinyanga.

Baada ya mechi dhidi ya Stand United na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1. Wachezaji wakapewa mapumziko ya siku mbili na baada ya hapo, Jumatatu kazi ikaanza.


Kikosi hicho kimekuwa kikiendelea na mazoezi kujiweka fiti pia kwa ajili ya mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Mbao FC, wikienda ijayo mjini Dodoma.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 

MAISHA TM Copyright © 2012 Template Designed by BTDesigner Published..Blogger Templates· Powered by Blogger