Serikali kupitia Menejimenti ya Utumishi wa Umma yatoa taarifa ya utekelezaji wa matokeo ya uhakiki wa vyeti feki, waliojinufaisha na zoezi pamoja na ajira mpya. Katika swala la vyeti feki inasemekana kuna watu pia walikwenda baraza la mitihani na kutaka kutoa rushwa ya Shilingi milioni Mbili na wengine Milioni tatu ili taarifa za vyeti vyao vibadilishwe. Ofisi ya Rais Menejiment na Utumishi wa Umma imetoa taarifa pia kuhusu hilo na kudai kuwa wamefatilia na majina ya wahusika wanayo.
Saturday, 6 May 2017
Majina ya Watumishi Waliotoa Rushwa Ili Vyeti Vibadilishwe
Serikali kupitia Menejimenti ya Utumishi wa Umma yatoa taarifa ya utekelezaji wa matokeo ya uhakiki wa vyeti feki, waliojinufaisha na zoezi pamoja na ajira mpya. Katika swala la vyeti feki inasemekana kuna watu pia walikwenda baraza la mitihani na kutaka kutoa rushwa ya Shilingi milioni Mbili na wengine Milioni tatu ili taarifa za vyeti vyao vibadilishwe. Ofisi ya Rais Menejiment na Utumishi wa Umma imetoa taarifa pia kuhusu hilo na kudai kuwa wamefatilia na majina ya wahusika wanayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment