Saturday, 6 May 2017

Majina ya Watumishi Waliotoa Rushwa Ili Vyeti Vibadilishwe

post-feature-image
Serikali kupitia Menejimenti ya Utumishi wa Umma yatoa taarifa ya utekelezaji wa matokeo ya uhakiki wa vyeti feki, waliojinufaisha na zoezi pamoja na ajira mpya. Katika swala la vyeti feki inasemekana kuna watu pia walikwenda baraza la mitihani na kutaka kutoa rushwa ya Shilingi milioni Mbili na wengine Milioni tatu ili taarifa za vyeti vyao vibadilishwe. Ofisi ya Rais Menejiment na Utumishi wa Umma imetoa taarifa pia kuhusu hilo na kudai kuwa wamefatilia na majina ya wahusika wanayo.
Share this article :

0 comments:

Post a Comment

 

MAISHA TM Copyright © 2012 Template Designed by BTDesigner Published..Blogger Templates· Powered by Blogger