Shirika
hilo linawashutumu maafisa kwa kutengeneza mikataba bandia ambapo
wamekuwa wakiiba pesa kwa madai ya kununua vifaa muhimu.
Ripoti hiyo imesema hali hiyo imelifanya Jeshi kuwa na rasimali pungufu pamoja na kutokakuwa na mafunzo ya kutosha.
Msemaji wa Jeshi la Nigeria Meja Jenerali John Enenche amesema tuhuma hizo haziwahusu maafisa wa sasa Jeshi.
Amesema hatua kubwa zimefanyika kuboresha mafunzo na kuinua ari kwa vikosi vya jeshi.
0 comments:
Post a Comment