This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, 2 June 2017

Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari arusha waaswa kuzingatia somo la computer

0 comments

Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha wameaswa kuzingatia mafunzo ya vitendo hasa katika soma la computer
 Hayo yamesemwa na mkufunzi wa chuo hicho bw Agustino Massawe maapema leo hii wakati akizungumza na wanahabari
 Hata hivyo bw Agustino massawe amesema wanafunzi walio wengi wamekuwa wakisahau kabisa somo la computer na kuliona kama ni la ziada.
 Ameongeza kuwa somo la computer ni somo linalo weza kuwapa ajira kwa siku za baadae.
Continue Reading...

Sunday, 28 May 2017

Acacia Wataka Uchunguzi Huru Mchanga Wa Dhahabu......Watishia Kuchukua Hatua Kuhakikisha Hawapati Hasara

0 comments
Kampuni ya Acacia imesema ripoti kuhusu mchanga wa dhahabu aliyopewa Rais John Magufuli Jumatano ya wiki hii imejaa upotoshaji wa hali ya juu na imependekeza kufanyika kwa uchunguzi mpya ambao ni huru ili kuweza kupata ukweli.

Katika taarifa yake ya jana, Kampuni ya  Acacia, yenye makao makuu jijini London, Uingereza, imesema kwamba, imejaribu mara kadhaa kuomba nakala ya ripoti hiyo nzima pamoja na utaratibu wa kuchukua sampuli kwenye uchunguzi huo, lakini mpaka sasa haijapewa.

“Kwa kuzingatia data tulizo nazo kwa zaidi ya miaka 20 ambazo tunaweza kuzitoa kwa ajili ya uchunguzi zaidi, hatuwezi kukubaliana na matokeo ya Tume. Data hizi ni data ambazo zimechambuliwa na kuandaliwa na Watanzania, wataalamu pamoja na taasisi za kimataifa na zimekuja na matokeo yanayofanana.

“Data hizi huru ambazo zinaweza kuthibitika zimeonyesha kuwa dhahabu kwenye mchanga ni chini ya asilimia moja ya kumi ya kiwango ambacho kimetajwa na ripoti ya tume. Kama data za ripoti ya tume zingekuwa kweli, Bulyanhulu na Buzwagi zingekuwa ndiyo wazalishaji wakubwa wa dhahabu duniani. Kutokana na upotoshaji huu, tunaamini tathmini mpya ambayo ni huru inahitajika,” inasomeka sehema ya Acacia kwa umma. 

Zaidi ripoti hiyo inaeleza kuwa, Acacia imekuwa ikilipa mrahaba ambao ni asilimia 4 kwa mujibu wa makubaliano kati yake na Serikali pamoja na sheria za Tanzania na kuongeza kuwa, pamoja na kuwa kweli kuna baadhi ya aina nyingine za madini kama chuma, sulphur, rhodium na mengineyo kwenye mchanga, aina hizo hazina thamani kibiashara na kampuni hiyo haipati mapato yoyote kutokana nayo.

Kampuni hiyo imesisitiza kuwa, imekuwa ikilipa mrahaba kwa mujibu wa sheria kwa madini wanayoyazalisha na kusema kuwa, katazo hilo la kusafirisha mchanga kutoka migodi hiyo miwili inaifanya kampuni hiyo kupoteza zaidi ya shilingi bilioni 2.2 kila siku, huku ikisisitiza itachukua hatua zote kuhakikisha haiendelei kupata hasara.

Taarifa hiyo ya jana imekuja zikiwa zimepita siku mbili baada ya kampuni hiyo kutoa taarifa nyingine ya kukosoa ripoti ya uchunguzi wa makinikia ambayo imewasilishwa kwa Rais.

Kupitia taarifa hiyo, Acacia ilidai kuwa, haijaona nakala ya ripoti hiyo ambayo inaonyesha kuwa kiwango cha madini kilichopo kwenye makinikia yanayoshikiliwa katika Bandari ya Dar es Salaam ni mara kumi zaidi ya kiwango kilichoainishwa kwenye data zilizowasilishwa awali.

Kwa msingi huo, uongozi wa Acacia ulisema kuwa unaendelea kusubiri nakala zaidi za ripoti hiyo kwa ajili ya kutolea ufafanuzi.


Continue Reading...

Wednesday, 24 May 2017

Picha5: Mwakyembe alivyoipokea Serengeti Boys ikitokea Gabon

0 comments
Tumu ya Serengeti Boys imewasili salama jijini Dar es Salaam kutoka Gabon ilipokua ikishiriki michuano ya AFCON U17 kabla ya kutolewa kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi B kwa kufungwa na Niger bao 1-0.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe alwaongoza watanzania katika mapokezi hayo kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. J.K Nyerere.
Mwakyembe amewapongeza Serengeti Boys kwa kushiriki michuano hiyo kwa mara ya kwanza na kuwaambia kuondolewa kwao ni mwanzo mpya wa safari ya kuitumikia Ngorongo Horoes.
“Karibuni nyumbani, mmetuwakisha vizuri na kuweka rekodi ya kuwa Tanzania tupo, tukienda kwenye mashindano ya kimataifa hatuendi kama wasindikizaji, tunaenda kama washindani.”
“Tunawategemea nyie ndio mtakua Ngorongoro Heroes, maandalizi yanaanza sasa kuelekea michuano inayokuja ili mwakani mtuwakilishe vizuri.”
Continue Reading...

Thursday, 18 May 2017

RONALDO HABARI NYINGINE, APIGA MBILI VS CELTA VIGO MADRID IKISHINDA 4-1, SASA BADO POINTI 1 TU UBINGWA LA LIGA

0 comments

Celta Vigo: Sergio, Mallo, Cabral, Roncaglia, Jonny, Hernandez, Jozabed (Diaz 72), Wass, Aspas, Sisto (Cheikh 80), Guidetti (Beauveu 86).
Subs not used: Fontas, Gomez, Hjulsager, Villar
Booked: Aspas, Jonny, Guidetti, Mallo, Hernandez
Sent off: Aspas 
Goal: Guidetti 69
Real Madrid: Keylor Navas, Danilo, Varane, Ramos, Marcelo, Kroos, Casemiro (Kovacic 71), Modric, Isco (Lucas 84), Benzema, Ronaldo (Asensio 84).
Subs not used: Casilla, Nacho, Coentrao, Morata
Booked: Casemiro, Ramos
Goals: Ronaldo 10, 48; Benzema 70, Kroos














Continue Reading...

SIMBA YAJICHIMBIA DEGE BEACH, NI MWADUI NA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

0 comments

KIkosi cha Simba kimeendelea na mazoezi yake kambini Dege Beach ikiwa ni kujiandaa na mechi yake ya mwisho ya ligi dhidi ya Mwadui ya Shinyanga.

Baada ya mechi dhidi ya Stand United na kuibuka na ushindi wa mabao 2-1. Wachezaji wakapewa mapumziko ya siku mbili na baada ya hapo, Jumatatu kazi ikaanza.


Kikosi hicho kimekuwa kikiendelea na mazoezi kujiweka fiti pia kwa ajili ya mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Mbao FC, wikienda ijayo mjini Dodoma.
Continue Reading...

KESHO NDIYO SIKU YA YANGA KUIFUATA MBAO FC KWAO MWANZA

0 comments


Yanga wameamua kuondoka mapema kabisa kwenda jijini Mwanza kwa ajili ya mechi yao ya ligi.

Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinaeleza, kikosi kizima kinatarajia kuondoka Dar es Salaam kesho kwenda Mwanza kwa ajili ya mechi ya Jumamosi.

Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh amesema watajua siku ya kuondoka leo baada ya uongozi kulijadili.

"Tuvute subira kidogo kwa kuwa suala hilo kwa sasa lipo kwa uongozi linamaliziwa," alisema leo.

Lakini taarifa nyingine zinaeleza, Yanga wataondoka kesho na ndege kwenda Mwanza na wameona waondoke mapema badala ya kwenda siku moja kabla ya mchezo.

Continue Reading...

MAN UNITED YANUSURIKA “KIFO”, KIPA ROMERO AOKOA PENALTI, DAKIKA 90 ZIKIISHA KWA SARE YA 0-0

0 comments


SOUTHAMPTON (4-3-3): Forster 6.5; Cedric 6 (Pied 69mins, 6), Stephens 6, Yoshida 6, Targett 6; Ward-Prowse 6.5 (Boufal 77), Davis 6, Romeu 6.5; Redmond 6, Gabbiadini 5 (Rodriguez 62, 6), Tadic 4.
Subs not used: Clasie, Austin, Caceres, Hassen.
Booked: Romeu, Cedric.
Manager: Claude Puel 6.5. 



MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): Romero 8.5; Bailly 5.5, Smalling 6, Jones 6, Darmian 6; Tuanzebe 6 (Carrcik 64, 6), Fellaini (Herrera 75); Mkhitaryan 6, Mata 6 (Rashford 69, 6), Rooney 6; Martial 6.
Subs not used: Lingard, Mitchell, McTominay, Joel Pereira.
Booked: Jones.
Manager: Jose Mourinho 5. 
Referee: Mike Dean 6.
Man of the match: Sergio Romero. 
Attendance: 31,425.
Player Ratings by Sam Cunningham 








Continue Reading...

EXCLUSIVE: BUSUNGU AFUNGUKA MARA YA KWANZA AKISEMA HATAYASAHAU HAYA KAMA ATAONDOKA YANGA AU KUBAKI

0 comments


Mshambulizi wa Yanga, Malimi Busungu, amefunguka mambo mawili makuu ambayo ikitokea siku ameondoka ndani ya timu hiyo basi hawezi kuyasahau popote pale aendapo.

Busungu ambaye kwa muda mrefu amepoteza nafasi ya kucheza kwenye kikosi hicho tangu kinanolewa na Mholanzi, Hans van Der Pluijm kisha Mzambia, George Lwandamina, mkataba wake na Yanga unamalizika mwishoni mwa msimu huu.

Mshambuliaji huyo ambaye alijiunga na Yanga msimu wa 2015/16 akitokea Mgambo JKT, amefanya mahojiano maalum na kipindi cha SPOTI HAUSI kinachorushwa na Global TV Online kila Alhamisi, na kuyataja mambo hayo.

“Kwanza kabisa siku nikiondoka Yanga, kwa yale mazuri sitasahau jinsi mashabiki walivyonipokea wakati najiunga na timu hii, kwa kweli walinipokea vizuri.


“Lakini katika jambo ambalo sipendezwi nalo ndani ya Yanga, ni kitendo cha benchi la ufundi kuamua kumtumia mchezaji mgonjwa na kumuacha mzima nje, kitu hicho huwa hakinifurahishi hata kidogo, imenitokea sana hiyo na nimekuwa mkimya tu kwa sababu siku zote mtu akinikwaza namuacha sitaki na yeye nimkwaze,” alisema Busungu.
Continue Reading...

Rushwa yafifiza vita dhidi ya Boko Haram

0 comments
Shirika la kimataifa la kupambana na rushwa Transparency International limesema rushwa kwenye jeshi la Nigeria inafifisha juhudi za kupambana na wapiganaji wa Boko Haram.
Shirika hilo linawashutumu maafisa kwa kutengeneza mikataba bandia ambapo wamekuwa wakiiba pesa kwa madai ya kununua vifaa muhimu.
Ripoti hiyo imesema hali hiyo imelifanya Jeshi kuwa na rasimali pungufu pamoja na kutokakuwa na mafunzo ya kutosha.
Msemaji wa Jeshi la Nigeria Meja Jenerali John Enenche amesema tuhuma hizo haziwahusu maafisa wa sasa Jeshi.
Amesema hatua kubwa zimefanyika kuboresha mafunzo na kuinua ari kwa vikosi vya jeshi.
Continue Reading...
 

MAISHA TM Copyright © 2012 Template Designed by BTDesigner Published..Blogger Templates· Powered by Blogger