This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, 2 June 2017

Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari arusha waaswa kuzingatia somo la computer

0 comments
Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha wameaswa kuzingatia mafunzo ya vitendo hasa katika soma la computer  Hayo yamesemwa na mkufunzi wa chuo hicho bw Agustino Massawe...
Continue Reading...

Sunday, 28 May 2017

Acacia Wataka Uchunguzi Huru Mchanga Wa Dhahabu......Watishia Kuchukua Hatua Kuhakikisha Hawapati Hasara

0 comments
Kampuni ya Acacia imesema ripoti kuhusu mchanga wa dhahabu aliyopewa Rais John Magufuli Jumatano ya wiki hii imejaa upotoshaji wa hali ya juu na imependekeza kufanyika kwa uchunguzi mpya ambao ni huru...
Continue Reading...

Wednesday, 24 May 2017

Picha5: Mwakyembe alivyoipokea Serengeti Boys ikitokea Gabon

0 comments
Tumu ya Serengeti Boys imewasili salama jijini Dar es Salaam kutoka Gabon ilipokua ikishiriki michuano ya AFCON U17 kabla ya kutolewa kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi B kwa kufungwa na Niger bao 1-0. Waziri...
Continue Reading...

Thursday, 18 May 2017

RONALDO HABARI NYINGINE, APIGA MBILI VS CELTA VIGO MADRID IKISHINDA 4-1, SASA BADO POINTI 1 TU UBINGWA LA LIGA

0 comments
Celta Vigo: Sergio, Mallo, Cabral, Roncaglia, Jonny, Hernandez, Jozabed (Diaz 72), Wass, Aspas, Sisto (Cheikh 80), Guidetti (Beauveu 86). Subs not used: Fontas, Gomez, Hjulsager, Villar Booked:...
Continue Reading...

SIMBA YAJICHIMBIA DEGE BEACH, NI MWADUI NA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

0 comments
KIkosi cha Simba kimeendelea na mazoezi yake kambini Dege Beach ikiwa ni kujiandaa na mechi yake ya mwisho ya ligi dhidi ya Mwadui ya Shinyanga. Baada ya mechi dhidi ya Stand United na...
Continue Reading...

KESHO NDIYO SIKU YA YANGA KUIFUATA MBAO FC KWAO MWANZA

0 comments
Yanga wameamua kuondoka mapema kabisa kwenda jijini Mwanza kwa ajili ya mechi yao ya ligi. Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinaeleza, kikosi kizima kinatarajia kuondoka Dar es Salaam kesho...
Continue Reading...

MAN UNITED YANUSURIKA “KIFO”, KIPA ROMERO AOKOA PENALTI, DAKIKA 90 ZIKIISHA KWA SARE YA 0-0

0 comments
SOUTHAMPTON (4-3-3): Forster 6.5; Cedric 6 (Pied 69mins, 6), Stephens 6, Yoshida 6, Targett 6; Ward-Prowse 6.5 (Boufal 77), Davis 6, Romeu 6.5; Redmond 6, Gabbiadini 5 (Rodriguez 62, 6),...
Continue Reading...

EXCLUSIVE: BUSUNGU AFUNGUKA MARA YA KWANZA AKISEMA HATAYASAHAU HAYA KAMA ATAONDOKA YANGA AU KUBAKI

0 comments
Mshambulizi wa Yanga, Malimi Busungu, amefunguka mambo mawili makuu ambayo ikitokea siku ameondoka ndani ya timu hiyo basi hawezi kuyasahau popote pale aendapo. Busungu ambaye kwa muda...
Continue Reading...

Rushwa yafifiza vita dhidi ya Boko Haram

0 comments
Shirika la kimataifa la kupambana na rushwa Transparency International limesema rushwa kwenye jeshi la Nigeria inafifisha juhudi za kupambana na wapiganaji wa Boko Haram. Shirika hilo linawashutumu...
Continue Reading...
 

MAISHA TM Copyright © 2012 Template Designed by BTDesigner Published..Blogger Templates· Powered by Blogger