Hayo yamesemwa na mkufunzi wa chuo hicho bw Agustino Massawe maapema leo hii wakati akizungumza na wanahabari
Hata hivyo bw Agustino massawe amesema wanafunzi walio wengi wamekuwa wakisahau kabisa somo la computer na kuliona kama ni la ziada.
Ameongeza kuwa somo la computer ni somo linalo weza kuwapa ajira kwa siku za baadae.
0 comments:
Post a Comment