katika Mechi za Copa America ambazo zilikuwa zinapigwa usiku wa kuamkia leo matokeo ni kuwa Haiti wamepigwa bao moja kwa sifuri na Peru, Brazil na Equador wakatoshana nguvu ya bila bila huku Venezuela wakiwaonyesha Jamaica kuwa Soka siyo muziki wa Rege kwa kuwabamiza bao moja kwa sifuri.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment